HAPPY VALENTINE LEADIES DADAZ


Najua mko safiiii name kiroho safi nawaambia www.mambopoint inakutakieni happy valentine day kwako wewe mwandani wako huna hakuna kujiju hapa, unaipeleka kwa jirani yako, bi-shost mwenzio, baba mama na bila kuwasahau watoto yatima.
Ujue mpango unakuwawaje ukishatokelezea kwenye kioo kabla ya mtoko Piga picha moja ya ukweli kasha ingia hapa post hiyo picha yako ikipata comment nyingi kuliko zote utaondoka na voucher ya 10000/=Tshs, ikipata like nyingi utaondoka na vocha ya 5000/=Tshs.
Ili upate marafiki wengi mambopoint sign in kama tayari una account angalia kushoto  kuna Icon imeandikwa find friends ukibofya  utakuta orodha ya marafiki kibao pia unaweza kuwaalika rafiki zako toka mitandao mingine kwa kufuata link ya  “Invite friends from your Gmail, Yahoo and face book accounts”
Chezea valentine wewe uangaliage tu usijerudi nyumbani na manundu..eee chako ule pepe ako na chamwenzio usikilegezee mimacho.
                                                                                                                                
Post Title : HAPPY VALENTINE LEADIES DADAZ

HAPPY VALENTINE LEADIES DADAZ,

HAPPY VALENTINE LEADIES DADAZ

0 comments

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...