JIJI LIMETIKISIKA.


Haiyaaa haiyaaaaaaaaaa, dadaz, mamazi unajua nini, si mashostito kibao wakaingia kwenye ule mtandao wa mambopoint.com sasa wengine wakashindwa hata kupost Pich zao
Ndo maana mtandao huo ukaja na mbinu rahisi kabisa ili kila mtu aweze kufurahia hudauma za mtandao huo. Unachotakiwa kufanya ni Kubofya hapa harafu chagua log in.. ukiona inakuzingua we chagua ile njia ya pili ; iliyoandikwa log in with face book.
Hapo hutakuwa na kazi tena ya kuanza ku-create account mpya kwani  ile ile ya facebook itakusaidia wewe kujiunga na mambopoint kwa urahis kabisa.
Harafu nikudokeze kitu mastaa kibao wa bongo freva na bongo move waliashaanza kutumia mtandao huo chelewa chelewa shauri yako wenzio tupo kibongo zaidi.

Post Title : JIJI LIMETIKISIKA.

JIJI LIMETIKISIKA.,

JIJI LIMETIKISIKA.

0 comments

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...